Numbers 3:17-20


17 aHaya yalikuwa majina ya wana wa Lawi:
Gershoni, Kohathi na Merari.

18 bHaya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni:
Libni na Shimei.

19 cKoo za Wakohathi zilikuwa ni:
Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

20 dKoo za Wamerari zilikuwa ni:
Mahli na Mushi.

Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao.

Copyright information for SwhKC